Mbunge wa Arumeru Mashariki John Pallangyo (mwenye miwani) akikabidhi pikipiki Desemba 29,2022 kwa baadhi ya Vijana kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Meru jijini Arusha ikiwa ni sehemu ya mkopo wa asilimia 10 inayotolewa na halmashauri kwa Vijana,Wanawake na Watu wenye ulemavu.Kulia ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Meru Jeremia Kishili.(Picha na mpigapicha wetu)
© 2025 Bajeti
Login to your account below
Remember Me
Please enter your username or email address to reset your password.
Discussion about this post