Askari wa Zambia wakiwa katika gwaride la heshima kwa ajili ya kumpokea Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kenneth Kaunda, Lusaka nchini Zambia Machi 22, 202 akimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Asasi ya Ushirikiano katika Masuala ya Siasa, Ulinzi na Usalama Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC Organ Troika) pamoja na Nchi zinazochangia vikosi katika jeshi la utayari la SADC lililopo nchini Msumbiji (SAMIM) na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (SAMIDRC).
Discussion about this post