Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira Mhe. Jackson Kiswaga akiongoza kikao cha Kamati hiyo cha kupokea na kujadili taarifa ya Tathmini ya Athari kwa Mazingira iliyotokana na mvua za El Nino kwa mwaka 2023/24 na namna Ofisi ilivyokabiliana nazo, jijini Dodoma Agosti 13, 2024.
© 2025 Bajeti
Login to your account below
Remember Me
Please enter your username or email address to reset your password.
Discussion about this post