• About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Tuesday, January 13, 2026
  • Login
Bajeti
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
Bajeti
No Result
View All Result
Home Sayansi na Teknolojia

Ndege kubwa ya abiria iliyotengenezwa na China yasafiri kwa mara ya kwanza

by bajeti
May 30, 2023
in Sayansi na Teknolojia
0
Ndege kubwa ya abiria iliyotengenezwa na China yasafiri kwa mara ya kwanza

Ndege ya abiria aina ya C919 iliyotengenezwa na china ya Shirika la Ndege la China Eastern iliruka asubuhi ya Mei 28,2023 kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Shanghai Hongqiao ikiwa na abiria 128, na kufika kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Beijing mchana wa siku hiyo.(Picha na CRI)

Share on FacebookShare on Twitter

BEIJING,CHINA

NDEGE  kubwa ya abiria ya aina ya C919, iliyotengenezwa na China kwa kujitegemea, ilikamilisha safari yake ya kwanza ya kibiashara kutoka Shanghai hadi Beijing, na kuashiria kuingia rasmi katika soko la usafiri wa anga.

Kwa mujibu wa taarifa ya Tovuti ya CRI ya nchi hiyo,imeeleza kuwa Ndege hiyo ya Shirika la Ndege la China Eastern iliruka asubuhi ya Mei 28,2023 kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Shanghai Hongqiao ikiwa na abiria 128, na kufika kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Beijing mchana.

Mkurugenzi wa Idara ya Masoko na Mauzo ya Shirika la Ndege la Kibiashara la China (COMAC)  Zhang Xiaoguang amesema safari hiyo ya kwanza ni sawa na sherehe ya kuja kwa ndege mpya.

Amesema ndege hiyo itaendelea kuwa bora kama ikihimili changamoto za soko.

Hii ni ndege ya kwanza ya China iliyotengenezwa kwa mujibu wa vigezo vya kimataifa huku nchi hiyo ikiwa na haki zote za uvumbuzi.

Mafanikio ya nchi hiyo katika masuala ya anga yanaweza kuleta changamoto kwa makampuni mengine ya ndege ambayo hufanya biashara dunia nzima hivyo mafanikio ya nchi hiyo yanaweza kusaidia upatikanaji wa ndege za abiria kwa gharama nafuu.

Next Post
Biashara haramu ya wanyama na mimea pori yashika nafasi ya nne duniani

Biashara haramu ya wanyama na mimea pori yashika nafasi ya nne duniani

Serikali kuwapa mikopo vijana waliojifunza uvuvi na ukuzaji viumbe maji

Serikali kuwapa mikopo vijana waliojifunza uvuvi na ukuzaji viumbe maji

Mazungumzo Burundi

Mazungumzo Burundi

Discussion about this post

Contact us:

BAJETI COMMUNICATION

info@bajeti.co.tz
bajetinews@gmail.com
+255718699828
P.o.BOX 18133,
DAR ES SALAAM,
TANZANIA

Category

  • Habari
  • Magazeti
  • Makala
  • Mazingira
  • Michezo
  • Picha
  • Sayansi na Teknolojia
  • Siasa

Our Visitors

  • Today's visitors:1
  • Today's page views 1
  • Total visitors 13,057
  • Total page views 14,802

Kuhusu Tovuti Hii

Hii ni tovuti ya habari iliyojikita katika kuandika  habari za kina   zikiwemo za mazingira kwa lengo la kuelimisha na kuuhabarisha umma.

Subscribe

  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

© 2025 Bajeti

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo

© 2025 Bajeti

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In