Watawa wa Kanisa Katoliki mkoani Njombe wakimsikiliza Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango (hayupo pichani) akiwa na Mkewe Mama Mbonimpaye Mpango mara baada ya kuungana na waumini wa Kanisa hilo katika
Ibada ya kawaida ya asubuhi iliyofanyika katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Yosefu kabla ya kuanza kwa siku ya pili ya ziara yake Oktoba 27,2023.(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Discussion about this post