• About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Thursday, January 22, 2026
  • Login
Bajeti
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
Bajeti
No Result
View All Result
Home Sayansi na Teknolojia

Bunge la Tanzania kujadili Muswada wa Sheria ya Uchaguzi wa Rais,Wabunge na Madiwani wa Mwaka 2023

Umo pia Muswada wa Sheria ya Tume ya Uchaguzi wa Mwaka 2023

by bajeti
January 29, 2024
in Sayansi na Teknolojia
0
Bunge la Tanzania kujadili Muswada wa Sheria ya Uchaguzi wa Rais,Wabunge na Madiwani wa Mwaka 2023

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson, akizungumza na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Cuba Salvador Valdes Mesa katika Ofisi ndogo za Bunge Jijini Dar es Salaam 24 Januari, 2024.(Picha na Ofisi ya Bunge )

Share on FacebookShare on Twitter

NA MWANDISHI WETU,DODOMA

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania litaanza kujadili Muswada wa Shjeria ya Uchaguzi wa Rais,Wabunge na Madiwani wa Mwaka 2023 na Muswada wa Sheria ya Tume ya Uchaguzi wa Mwaka 2023.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa 29 Januari 2024 jijini Dodoma na Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Kimataifa, Ofisi ya Bunge, imeeleza kuwa  Mkutano wa 14 wa Bunge la 12 umepangwa kufanyika kwa muda wa wiki tatu kuanzia tarehe 30 Januari hadi tarehe 16 Februari, 2024.

Taarifa hiyo imebainisha kuwa Mkutano huo umeongezewa wiki moja kutokana na uzito wa majukumu yaliyopangwa ikiwemo uzito wa Miswada itakayoshughulikiwa.

‘’Miswada ambayo imepangwa kujadiliwa katika Mkutano huo ni Muswada wa Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani wa Mwaka 2023 na Muswada wa Sheria ya Tume ya Uchaguzi wa Mwaka 2023.

”Miswada mingine ni Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria za Vyama vya Siasa wa Mwaka 2023 na Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali (Na.5) wa Mwaka 2023.”imeongeza taarifa hiyo 

Mbali na Miswada hiyo lakini pia Mkutano huo wa Bunge, Kamati za Kudumu za Bunge zitawasilisha taarifa za shughuli zilizotekelezwa na Kamati kwa mwaka 2023.

Aidha, wastani wa Maswali 250 ya kawaida na Maswali 24 ya Papo kwa Papo kwa Waziri Mkuu yanatarajiwa kuulizwa na Wabunge.

 

Next Post
Mahakama yasimama kwa muda kuhakiki kitambulisho cha mwandishi

Mahakama yaamuru kesi ya Lydia Lugaga dhidi ya Damas Ndumbaro kusikilizwa upya

Polisi- Mbozi

Polisi- Mbozi

Tafiti zifanyike kubaini visababishi  vya magonjwa ya moyo

Tafiti zifanyike kubaini visababishi vya magonjwa ya moyo

Discussion about this post

Contact us:

BAJETI COMMUNICATION

info@bajeti.co.tz
bajetinews@gmail.com
+255718699828
P.o.BOX 18133,
DAR ES SALAAM,
TANZANIA

Category

  • Habari
  • Magazeti
  • Makala
  • Mazingira
  • Michezo
  • Picha
  • Sayansi na Teknolojia
  • Siasa

Our Visitors

  • Today's visitors:18
  • Today's page views 18
  • Total visitors 13,277
  • Total page views 15,025

Kuhusu Tovuti Hii

Hii ni tovuti ya habari iliyojikita katika kuandika  habari za kina   zikiwemo za mazingira kwa lengo la kuelimisha na kuuhabarisha umma.

Subscribe

  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

© 2025 Bajeti

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo

© 2025 Bajeti

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In