• About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Tuesday, January 13, 2026
  • Login
Bajeti
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
Bajeti
No Result
View All Result
Home Habari

Hizb ut Tahrir / Tanzania yalaani mauaji ya Kibao

by bajeti
September 12, 2024
in Habari
0
Hizb ut Tahrir / Tanzania yalaani mauaji ya Kibao

Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Muhammad Ali Kibao enzi za uhai wake ambaye alitekwa Septemba 6, 2024 na kisha kuuwawa.

Share on FacebookShare on Twitter

NA MWANDISHI WETU

TAASISI ya Hizb ut Tahrir / Tanzania imeungana na watanzania wengine kutoa mkono wa pole na kuifariji familia ya kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Muhammad Ali Kibao ambaye alitekwa Septemba 6, 2024     na kisha kuuwawa.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari Septemba 12,2024 na Mwakilishi wa vyombo vya habari wa taasisi hiyo Masoud Mselem amesema wao kama taasisi wanalaani vikali utekaji huo na mauaji hayo ya kikatili.

Mselem amesema vitendo vya utekaji vinavyopelekea kupotezwa au kuuliwa kikatili si vigeni nchini kwani, vimekuwapo kwa muda sasa, ambapo wapo wengine hawajuulikani walipo katika wilaya za Mkuranga, Kibiti na Rufiji mkoanji Pwani

‘’Matukio kama haya sio tu yanaleta hofu,ukosefu wa amani, kuchafuka na kuathirika haiba ya serikali, bali pia  ni kielelezo cha wazi cha kukosekana uwajibikaji kwa kuwa dola ndio mdhamini mkuu na mlinzi wa usalama wa raia, mali zao na heshima zao.

‘’Matukio kama haya yanaonesha wazi wazi kushindwa kwa mfumo wa kibepari na demokrasia yake ulimwenguni kote, kwa kuwa mfumo huo unazua machafuko, vurugu na utovu wa amani kwa wanadamu’’amesema Mselem

Mselem ameongeza kuwa ni wazi, ulimwengu unahitaji mfumo wa haki na uadilifu wenye uwezo wa kudhamini ulinzi wa raia, maisha yao, mali zao na heshima zao.

 

 

Next Post
Japan na Tanzania kuimarisha ushirikiano

Japan na Tanzania kuimarisha ushirikiano

TARI yatoa mafunzo kwa Wakulima na Maafisa Ugani 165

TARI yatoa mafunzo kwa Wakulima na Maafisa Ugani 165

INEC yawaasa watendaji wake kuwa makini

INEC yawaasa watendaji wake kuwa makini

Discussion about this post

Contact us:

BAJETI COMMUNICATION

info@bajeti.co.tz
bajetinews@gmail.com
+255718699828
P.o.BOX 18133,
DAR ES SALAAM,
TANZANIA

Category

  • Habari
  • Magazeti
  • Makala
  • Mazingira
  • Michezo
  • Picha
  • Sayansi na Teknolojia
  • Siasa

Our Visitors

  • Today's visitors:6
  • Today's page views 6
  • Total visitors 13,062
  • Total page views 14,807

Kuhusu Tovuti Hii

Hii ni tovuti ya habari iliyojikita katika kuandika  habari za kina   zikiwemo za mazingira kwa lengo la kuelimisha na kuuhabarisha umma.

Subscribe

  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

© 2025 Bajeti

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo

© 2025 Bajeti

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In