Afisa Masoko kutoka Kampuni ya Uvuvi Zanzibar (ZAFICO) Abdul Fattah Mahfoudh Abdul Fattah akiwaonesha baadhi ya wananchi (hawapo pichani) bidhaa wanazozalisha ikiwemo pia ufugaji wa samaki katika vizimba wakati wa Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa (DITF) maarufu kama Sabasaba yanayoendelea mkoani Dar es Salaam Julai 10,2025
© 2025 Bajeti
Login to your account below
Remember Me
Please enter your username or email address to reset your password.
Discussion about this post