• About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Friday, May 1, 2026
  • Login
Bajeti
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
Bajeti
No Result
View All Result
Home Habari

Finland kuzinyima misaada nchi za kiafrika zilizogoma kuipinga Urusi

by bajeti
June 22, 2023
in Habari
0
Finland kuzinyima misaada nchi za kiafrika zilizogoma kuipinga Urusi

Waziri wa Biashara ya Nje na Maendeleo wa Finland Ville Tavio

Share on FacebookShare on Twitter

HELSINK,FINLAND

FINLAND inatarajia kuzinyima misaada baadhi ya nchi za kiafrika kutokana na kutoonesha kuipinga Urusi baada ya kuanzisha kile inachokiita oparesheni ya kijeshi nchini Ukraine.

Nchi za Kiafrika ambazo zinaiunga mkono Urusi katika mzozo wa Ukraine zitapoteza msaada wa maendeleo kutoka Finland.

Kwa mujibu wa taarifa iliyochapishwa Juni 21,2023 na Tovuti ya habari ya RT,Serikali ya Finland inataka kupunguza misaada ya maendeleo kwa karibu dola bilioni moja na kwamba Mataifa yanayoendelea yanapaswa kuzingatia maendeleo yao ya ndani badala ya kuunga mkono vita vya Urusi.

Akizungumza na Shirika la Utangazaji la Taifa la nchi hiyo(YLE) Juni 19,2023,Waziri wa Biashara ya Nje na Maendeleo wa nchi hiyo, Ville Tavio amesema ni wajibu wa msingi wa nchi yake ni kuunga mkono Ukraine na ni makosa kimaadili kwa nchi zinazounga mkono “uchokozi” wa Urusi dhidi ya Kiev kuendelea kupokea misaada ya maendeleo kutoka Finland.

“Ninaangalia nchi zinazopokea misaada kutoka Finland, lakini nichague kutoheshimu utaratibu unaozingatia sheria za kimataifa na Mamlaka ya Serikali ya Ukraine,” amesema Tavio.

Hata hivyo Tavio hakutaja nchi zitakazonyimwa misaada hiyo ya maendeleo ambapo baadhi nchi kama Ethiopia, Kenya,Somalia, na Msumbiji ni washirika wakuu wa Finland barani Afrika, ambazo hukupokea misaada kutoka nchi hiyo kwa muda mrefu.

Nchi kadhaa za Kiafrika,ikiwa ni pamoja na Afrika Kusini, zimesalia kutofungamana na mzozo kati ya Urusi na Ukraine, licha ya shinikizo la nchi za magharibi kuzitaka kuunga mkono Ukraine.

 

 

 

Next Post
Mradi Kituo cha Utafutaji na Uokoaji Ziwa Victoria kati ya Tanzania na Uganda,viongozi wafanyia shughuli zao Kenya

Mradi Kituo cha Utafutaji na Uokoaji Ziwa Victoria kati ya Tanzania na Uganda,viongozi wafanyia shughuli zao Kenya

Putin:Tutailinda nchi yetu dhidi ya uhaini

Putin:Tutailinda nchi yetu dhidi ya uhaini

Wabunifu waishukuru Serikali kuwapatia Sh.Bilioni 1.191

Wabunifu waishukuru Serikali kuwapatia Sh.Bilioni 1.191

Discussion about this post

Contact us:

BAJETI COMMUNICATION

info@bajeti.co.tz
bajetinews@gmail.com
+255718699828
P.o.BOX 18133,
DAR ES SALAAM,
TANZANIA

Category

  • Habari
  • Magazeti
  • Makala
  • Mazingira
  • Michezo
  • Picha
  • Sayansi na Teknolojia
  • Siasa

Our Visitors

  • Today's visitors:15
  • Today's page views 17
  • Total visitors 16,017
  • Total page views 18,175

Kuhusu Tovuti Hii

Hii ni tovuti ya habari iliyojikita katika kuandika  habari za kina   zikiwemo za mazingira kwa lengo la kuelimisha na kuuhabarisha umma.

Subscribe

  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

© 2025 Bajeti

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo

© 2025 Bajeti

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In