• About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Thursday, January 22, 2026
  • Login
Bajeti
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
Bajeti
No Result
View All Result
Home Mazingira

Mabadiliko hali ya hewa kuhamisha watu milioni 10 Bangladesh

by BAJETI
June 27, 2021
in Mazingira
0
Share on FacebookShare on Twitter

WAZIRI wa Mambo ya Nchi za Nje wa Bangladesh Abul Kalam Abdul Momen amesema kwamba idadi ya raia wa nchi wanaopaswa kuhamishwa kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa imezidi milioni 10.

Momen ameyasema hayo jana  kwenye mpango wa hali ya hewa ulioandaliwa na Tume Kuu ya Bangladesh na Baraza la Hamlet Tower huko London, mji mkuu wa Uingereza, kupitia mkutano wa video.

Shirika la Habari la TRT la nchini Uturuki limemnukuu Momen akieleza  kuwa nchi yake tayari imekaribisha wakimbizi Waislamu Milioni 1.1 wa Rohingya kutoka nchini Mynamar.

Amesema zaidi ya watu milioni 10 wa nchi hiyo ambao wanapaswa kuhama kwa sababu zinazohusiana na mabadiliko ya hali ya hewa.

Momen pia amefafanua kuwa  wale ambao walipaswa kuhama kwa sababu ya mabadiliko ya hali ya hewa kama wanajulikana kama “wakimbizi wa hali ya hewa” ambapo  nchi yake ni moja ya wahanga wa ongezeko la  kiwango cha joto duniani,

Momen ameongeza kuwa ifikapo mwaka 2050, kuongezeka kwa kiwango cha bahari kwa sababu ya mabadiliko ya hali ya hewa kunaweza kufurika kwa asilimia 17 ya pwani ya Bangladesh, na hali hiyo inaweza kuwaondoa zaidi ya watu milioni 20.

Next Post

Joto kali lasababisha shule kufungwa Canada

Ufugaji nyuki husaidia utunzaji wa mazingira

TAWA:Chatu ndiye nyoka mkubwa pekee asiye na sumu

Discussion about this post

Contact us:

BAJETI COMMUNICATION

info@bajeti.co.tz
bajetinews@gmail.com
+255718699828
P.o.BOX 18133,
DAR ES SALAAM,
TANZANIA

Category

  • Habari
  • Magazeti
  • Makala
  • Mazingira
  • Michezo
  • Picha
  • Sayansi na Teknolojia
  • Siasa

Our Visitors

  • Today's visitors:18
  • Today's page views 18
  • Total visitors 13,277
  • Total page views 15,025

Kuhusu Tovuti Hii

Hii ni tovuti ya habari iliyojikita katika kuandika  habari za kina   zikiwemo za mazingira kwa lengo la kuelimisha na kuuhabarisha umma.

Subscribe

  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

© 2025 Bajeti

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo

© 2025 Bajeti

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In