• About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Tuesday, January 13, 2026
  • Login
Bajeti
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
Bajeti
No Result
View All Result
Home Sayansi na Teknolojia

TMDA:Kunusa na kuweka ugoro mdomoni ni kosa kisheria.

by BAJETI
July 5, 2021
in Sayansi na Teknolojia
0
Share on FacebookShare on Twitter

MAMLAKA ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imetoa tahadhari kwa watumiaji wa kunusu na kuweka mdomoni bidhaa za tumbaku ukiwemo ugoro kuwa ni kosa kisheria.

Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya TMDA ilitolewa leo mkoani Dar es Salaam katika Maonyesho ya 45 ya Biashara ya Kimataifa Dar es Salaam (DITF) maarufu Sabasaba yenye kauli mbiu ‘ Uchumu wa Viwanda kwa Ajira na Biashara Endelevu’

TMDA imeeleza kuwa ni kosa kisheria kutafuna kunusu na kuweka mdomoni bidhaa za tumbaku.

TMDA  ambayo ni Taasisi ya Serikali iliyo chini ya Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto ina jukumu la kulinda afya ya jamii kwa kudhibiti usalama,ubora na ufanisi wa dawa,vifaa tiba na vitendanishi nchini.

“Uthibiti wa Tumbaku,Je wajua kuwa kutafuna,kunusa na kuweka mdomoni  bidhaa za tumbaku kama vile ugoro ni kosa kisheria”imeeleza taarifa hiyo.

Uthibiti wa matumizi ya bidhaa hizo umekuja wakati ambapo makundi ya vijana yakionekana kuwa ndio waathirika wakubwa wa bidhaa hizo hasa ugoro ambao miaka ya nyuma ulitumika sana kwa watu wenye umri mkubwa (wazee).

Hata hivyo mapambano ya TMDA katika kukabiliana na suala hilo yanatokana na dhima ya taasisi hiyo kulinda afya ya jamii kwa kuzuia athari zinazoweza kujitokeza kutokana na matumizi ya chakula,dawa vipodozi na vifaa tiba.

Next Post

Mradi wa Julius Nyerere umezalisha ajira zaidi ya 7400

TANESCO:Mradi wa JNHPP unalinda mazingira.

Mzumbe yawezesha vijana kujiajiri

Discussion about this post

Contact us:

BAJETI COMMUNICATION

info@bajeti.co.tz
bajetinews@gmail.com
+255718699828
P.o.BOX 18133,
DAR ES SALAAM,
TANZANIA

Category

  • Habari
  • Magazeti
  • Makala
  • Mazingira
  • Michezo
  • Picha
  • Sayansi na Teknolojia
  • Siasa

Our Visitors

  • Today's visitors:9
  • Today's page views 9
  • Total visitors 13,065
  • Total page views 14,810

Kuhusu Tovuti Hii

Hii ni tovuti ya habari iliyojikita katika kuandika  habari za kina   zikiwemo za mazingira kwa lengo la kuelimisha na kuuhabarisha umma.

Subscribe

  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

© 2025 Bajeti

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo

© 2025 Bajeti

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In