• About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Tuesday, January 13, 2026
  • Login
Bajeti
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
Bajeti
No Result
View All Result
Home Sayansi na Teknolojia

Aliyepata chanjo ya COVID-19 kutambuliwa kimataifa

by BAJETI
August 22, 2021
in Sayansi na Teknolojia
0
Share on FacebookShare on Twitter

MAMIA ya Wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam leo wamejitokeza kupata chanjo ya kuzuia ugonjwa wa UVIKO-19 (COVID-19)hali iliyoifanya serikali kuongeza siku moja ya zoezi hilo.

Mbali na hilo lakini pia kila aliyepata chanjo hiyo amepatiwa cheti kinachotambulika kimataifa.

Akizungumza leo katika Uwanja wa Uhuru mkoani Dar es Salaam mara baada ya kukagua zoezi hilo la chanjo,Mkuu wa Mkoa huo Amos Makalla  amesema hadi kufikia majira ya saa 4.00 asubuhi  tayari wananchi  zaidi ya 2,882 walikuwa wamejitokeza  kuchanjwa.

Amesema zoezi hilo limekuwa na mafanikio makubwa ambapo aliwataka wakuu wa wilaya zote za Mkoa wa Dar es Salaam nao kuandaa zoezi kama hilo kwenye wilaya zao ili kila mwenye uhitaji apate huduma hiyo.

Amesema kila aliyepata chanjo hiyochati chake kitatambuliwa kimataifa hivyo ni muhimu kwa wanachi kujitokeza kupata chanjo hiyo wakati huu ambapo serikali inaendesha zoezi hilo bure.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla (Kulia) akizungumza na baadhi ya wananchi ambao majina hayakuweza kufahamika waliojitokeza kupata chanjo ya ugonjwa UVIKO-19 (CORONA) katika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam leo(Picha na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam)

“Kufuatia mwitikio mkubwa wa wananchi waliofurika Uwanja wa Uhuru kupata chanjo ya UVIKO-19(CORONA), tumeamua kuongeza tena siku moja ya utoaji wa chanjo ili kuhakikisha kila mwenye uhitaji anapata huduma”amesema Makalla.

Makalla amefafanua kuwa ameongeza muda huo kutokana na baadhi ya wananchi kutoka makundi mbalimbali walioomba muda uongezwe kutokana na baadhi yao kushindwa kuhudhuria siku ya leo kwa sababu mbalimbali.

Next Post

Sh.Bilioni 1.5 kuanza kutatua kero ya mafuriko Malinyi

Akamatwa akipeleka mahari ukweni

Tanzania ina nguruwe milioni 3.2

Discussion about this post

Contact us:

BAJETI COMMUNICATION

info@bajeti.co.tz
bajetinews@gmail.com
+255718699828
P.o.BOX 18133,
DAR ES SALAAM,
TANZANIA

Category

  • Habari
  • Magazeti
  • Makala
  • Mazingira
  • Michezo
  • Picha
  • Sayansi na Teknolojia
  • Siasa

Our Visitors

  • Today's visitors:8
  • Today's page views 8
  • Total visitors 13,064
  • Total page views 14,809

Kuhusu Tovuti Hii

Hii ni tovuti ya habari iliyojikita katika kuandika  habari za kina   zikiwemo za mazingira kwa lengo la kuelimisha na kuuhabarisha umma.

Subscribe

  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

© 2025 Bajeti

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo

© 2025 Bajeti

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In