• About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Tuesday, January 13, 2026
  • Login
Bajeti
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
Bajeti
No Result
View All Result
Home Habari

Mwenyekiti Halmashauri Meru ataka wananchi kuchangia maendeleo

by BAJETI
September 2, 2021
in Habari
0
Share on FacebookShare on Twitter

WANANCHI wa Kata ya Imbaseny wilayani Arumeru Mkoa wa Arusha wametakiwa kuchangia michango kwa ajili ya maendeleo ya eneo hilo ikiwemo ujenzi wa sekondari katika eneo ili kupunguza watoto   kutembea umbali mrefu.

Wito huo umetolewa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Meru Jeremia  Kishili  wakati akizungumza na waandishi wa habari juu ya maendeleo ya Kata hiyo.

 Amesema katika Kata hiyo  wanajenga Shule ya Sekondari ya Imbaseny ambayo wanatarajia kuifungua mwakani hivyo wananchi wanapaswa kutoa michango ya ujenzi huo na kuacha dhana potofu kuwa  hawapaswi kutoa michango yeyote katika kuchangia maendeleo ya elimu.

Kishili ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Imabaeny amewaomba pia Walimu na Wafanyakazi  wengine wawe mfano wa kwanza kuchangia michango ya maendeleo katika kata hiyo.

Amewataka Wananchi wa Meru kuzidi kutoa ushirikiano kati yao na Viongozi wa Kata na Vitongoji ili kuharakisha maendeleo katika jamii zao. Mbali na Sekta ya Elimu Kishili amebainisha kuwa  tayari wameanza kuboresha miundombinu ya barabara ikiwemo ile ya Aloisi

Next Post

Wagonjwa afya ya akili waongezeka

Kiini migogoro ya ardhi Dar es Salaam chafichuliwa.

Utafiti:Uchafuzi wa mazingira kufupisha umri wa kuishi

Discussion about this post

Contact us:

BAJETI COMMUNICATION

info@bajeti.co.tz
bajetinews@gmail.com
+255718699828
P.o.BOX 18133,
DAR ES SALAAM,
TANZANIA

Category

  • Habari
  • Magazeti
  • Makala
  • Mazingira
  • Michezo
  • Picha
  • Sayansi na Teknolojia
  • Siasa

Our Visitors

  • Today's visitors:1
  • Today's page views 1
  • Total visitors 13,057
  • Total page views 14,802

Kuhusu Tovuti Hii

Hii ni tovuti ya habari iliyojikita katika kuandika  habari za kina   zikiwemo za mazingira kwa lengo la kuelimisha na kuuhabarisha umma.

Subscribe

  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

© 2025 Bajeti

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo

© 2025 Bajeti

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In