• About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Thursday, January 22, 2026
  • Login
Bajeti
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
Bajeti
No Result
View All Result
Home Sayansi na Teknolojia

Wagonjwa afya ya akili waongezeka

by BAJETI
September 3, 2021
in Sayansi na Teknolojia
0
Share on FacebookShare on Twitter

RIPOTI ya Shirika la Afya Duniani (WHO) imeonesha kuwa idadi ya watu wanaoishi na ugonjwa wa akili na kupelekea kupoteza kumbukumbu na uwezo wa kufikiri, inaongezeka na kufikia watu milioni 55.

Kati ya watu hao milioni 55  asilimia 8.1 ni  wanawake na asilimia 5.4 ni wanaume wenye zaidi ya umri wa miaka 65 wanaoishi na shida ya dementia.

Idadi hii inakadiriwa kuongezeka watu milioni 139 ifikapo mwaka 2050.

Kwa mujibu wa ripoti hiyo iliyotolewa Agosti 2,2021 mjini Geneva, Uswisi iliyopewa jina la ‘Hali ya ulimwengu kuhusu hatua za afya ya umma dhidi ya tatizo la kusahau’,  

Ripoti hiyo inafafanuwa kuwa ni robo tu ya nchi zote ulimwenguni ambazo zina sera, mkakati au mpango wa kitaifa wa kusaidia watu walio na ugonjwa wa shida ya akili unaosababisha kupoteza kumbukumbu na hali nyingine kama kushindwa kufikiria vizuri. 

Mkurugenzi wa WHO, Dkt Tedros Adhanom Ghebreyesus, amesema, “ugonjwa wa kusahau unawaibia mamilioni ya watu kumbukumbu zao, uhuru na utu, lakini pia unawaibia wao watu wanaowajua na wanaowapenda.

“Ulimwengu unawaangusha watu walio na shida ya akili, na hiyo inatuumiza sisi sote”amesema  Ghebreyesus.

Hata hivyo taarifa ya WHO imefafanua kuwa, Ugonjwa wa kusahau husababishwa na magonjwa tofauti tofauti na majeraha ambayo huathiri ubongo, kama ugonjwa wa Alzheimers au hata kiharusi.

Hata hivyo taarifa ya WHO imefafanua kuwa, Ugonjwa wa kusahau husababishwa na magonjwa tofauti tofauti na majeraha ambayo huathiri ubongo, kama ugonjwa wa Alzheimers au hata kiharusi.

Ugonjwa huo unathiri kumbukumbu na kazi nyingine za utambuzi, pamoja na uwezo wa kufanya kazi za kila siku.

Miaka minne iliyopita, serikali mbalimbali duniani zilikubaliana malengo ya wazi ya kuboresha huduma za dementia.

“Lakini malengo pekee hayatoshi, tunahitaji hatua za pamoja ili kuhakikisha kuwa watu wote walio na shida ya akili na kupoteza kumbukumbu wanaishi na msaada na hadhi inayostahili.”amesema Ghebreyesus

Next Post

Kiini migogoro ya ardhi Dar es Salaam chafichuliwa.

Utafiti:Uchafuzi wa mazingira kufupisha umri wa kuishi

Umasikini wakithiri Lebanon

Discussion about this post

Contact us:

BAJETI COMMUNICATION

info@bajeti.co.tz
bajetinews@gmail.com
+255718699828
P.o.BOX 18133,
DAR ES SALAAM,
TANZANIA

Category

  • Habari
  • Magazeti
  • Makala
  • Mazingira
  • Michezo
  • Picha
  • Sayansi na Teknolojia
  • Siasa

Our Visitors

  • Today's visitors:18
  • Today's page views 18
  • Total visitors 13,277
  • Total page views 15,025

Kuhusu Tovuti Hii

Hii ni tovuti ya habari iliyojikita katika kuandika  habari za kina   zikiwemo za mazingira kwa lengo la kuelimisha na kuuhabarisha umma.

Subscribe

  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

© 2025 Bajeti

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo

© 2025 Bajeti

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In