• About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Thursday, January 22, 2026
  • Login
Bajeti
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
Bajeti
No Result
View All Result
Home Habari

Umasikini wakithiri Lebanon

by BAJETI
September 4, 2021
in Habari
0
Share on FacebookShare on Twitter

TUME ya Uchumi na Jamii ya Umoja wa Mataifa ya Asia Magharibi (ESCWA),imesema  asilimia 74 ya idadi ya watu wa Lebanon wameishi katika umaskini mwaka huu wa 2021

ESCWA yenye Makao yake Makuu  Beirut, Mji Mkuu wa Lebanoni, imechapisha ripoti ya utafiti inayoitwa “Umasikini Mkubwa nchini Lebanon: Ukweli Unaoumiza na Matarajio Yasiyo na Uhakika” juu ya nchi hiyo katika mtego wa uchumi wenye mgogoro.

Ripoti  hiyo, imeonesha kuwa asilimia 74 ya idadi ya watu wa Lebanon wamekumbwa na umasikini mnamo 2021,

Ripoti  hiyo ilikumbusha pia kwamba kiwango cha umasikini nchini humo  kilikuwa asilimia 55 mwaka 2020  na asilimia 28 mnamo mwaka  2019.

Umaskini wa katika maeneo mengi  pia umeathiri asilimia 34 ya idadi ya watu, kulingana na ripoti hiyo, ambapo idadi ya familia ambazo haziwezi kupata huduma za afya nchini zimeongezeka hadi asilimia 33 na wale ambao wana ugumu wa kupata dawa ni zaidi ya asilimia 50.

Tume ya Uchumi ya UN ya Magharibi mwa Asia imetaka kupangwe mipango bora zaidi ya ulinzi wa jamii na kuondoa ukosefu wa ajira na umaskini.

Uchumi wa Lebanon, umekumbwa na misukosuko mingi kutokana  na mgawanyiko wa kisiasa kulingana na dini na madhehebu tofauti.

Wakati ESCWA ikitoa ripoti yake,Iran imetuma meli zilizobeba nishati ya mafuta ili kusaidia wananchi kuendelea na kazi zao baada ya nchi hiyo kukumbwa na uhaba mkubwa wa mafuta

Next Post

Serikali kujenga Kituo cha Ukuzaji Viumbe Maji

Watakiwa kutumia njia za asili kukabiliana na wanyamapori

Sensa yaibua Vikwazo Sekta ya Kilimo

Discussion about this post

Contact us:

BAJETI COMMUNICATION

info@bajeti.co.tz
bajetinews@gmail.com
+255718699828
P.o.BOX 18133,
DAR ES SALAAM,
TANZANIA

Category

  • Habari
  • Magazeti
  • Makala
  • Mazingira
  • Michezo
  • Picha
  • Sayansi na Teknolojia
  • Siasa

Our Visitors

  • Today's visitors:18
  • Today's page views 18
  • Total visitors 13,277
  • Total page views 15,025

Kuhusu Tovuti Hii

Hii ni tovuti ya habari iliyojikita katika kuandika  habari za kina   zikiwemo za mazingira kwa lengo la kuelimisha na kuuhabarisha umma.

Subscribe

  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

© 2025 Bajeti

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo

© 2025 Bajeti

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In