• About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Tuesday, January 13, 2026
  • Login
Bajeti
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
Bajeti
No Result
View All Result
Home Mazingira

Sensa yaibua Vikwazo Sekta ya Kilimo

by BAJETI
September 6, 2021
in Mazingira
0
Share on FacebookShare on Twitter

SEKTA ya Kilimo nchini inakabiliwa na vikwazo zaidi ya 20 ikiwemo migogoro ya wakulima na wafugaji pamoja na upatikanaji wa mikopo.

Hayo ni kwa mujibu wa  Sensa ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi ya Mwaka wa Kilimo 2019/20 katika Ripoti ya Matokeo Muhimu kwa Sekta za mazao,mifugo na ufugaji wa samaki iliyotolewa Agosti mwaka huu na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS).

Ripoti hiyo ya NBS imebainisha matokeo ya Sensa yanaonesha kuwa, kaya nyingi zilikutana na vikwazo mbalimbali katika Mwaka wa Kilimo 2019/20.

Ripoti hiyo imebainisha kuwa kati ya vikwazo vingi vilivyoripotiwa na kaya katika shughuli za kilimo ni mabadiliko ya tabianchi (ukame, mafuriko, gharama za pembejeo, upatikanaji wa ardhi, bei ndogo za mazao, magonjwa na wadudu waharibifu, upatikanaji wa pembejeo na rutuba ya udongo.

Vikwazo vingine ni pamoja na Umiliki wa Ardhi,Upatikanaji wa mbegu bora,Uharibifu wa wanyama na ndege,Nyingine,Huduma za ugani,Upatikanaji wa mikopo,Upatinakaji wa soko na taarifa za masoko,Wizi wa mazao.

“Upatikanaji wa maji kwa matumizi ya binadamu,Upatikanaji wa dawa za mifugo,Mapato nje ya shughuli za kilimo,Migogoro ya ardhi baina ya wakulima na wafugaji,Gharama za usafirishaji,Vifaa vya umwagiliaji na Uvunaji”imefafanua ripoti hiyo

Hata hivyo,ripoti hiyo imehitimisha  kwa kueleza kuwa Kilimo kimeendelea kufanywa kwa kiasi kikubwa na wakulima wadogo kwenye maeneo yote ambayo ni uzalishaji wa mazao, ufugaji wa mifugo na samaki kwa tija ndogo na uzalishaji umeongezeka kwa sababu ya upanuzi wa eneo linalolimwa.

“Tija ya uzalishaji kwa wakulima wakubwa ni kubwa, na katika mnyororo wa thamani wanapata mara mbili zaidi ya wakulima wadogo, na  Mabadiliko ya hali ya tabianchi imeripotiwa kuwa ni moja ya kikwazo kikuu kwa Sekta ya Kilimo.”imeongeza ripoti hiyo.

Next Post

DC aagiza kutengwa siku kusikiliza kero za wananchi.

Washerekea wafungwa kutoroka gerezani

Wakulima wakwepa mbolea ya viwandani

Discussion about this post

Contact us:

BAJETI COMMUNICATION

info@bajeti.co.tz
bajetinews@gmail.com
+255718699828
P.o.BOX 18133,
DAR ES SALAAM,
TANZANIA

Category

  • Habari
  • Magazeti
  • Makala
  • Mazingira
  • Michezo
  • Picha
  • Sayansi na Teknolojia
  • Siasa

Our Visitors

  • Today's visitors:5
  • Today's page views 5
  • Total visitors 13,061
  • Total page views 14,806

Kuhusu Tovuti Hii

Hii ni tovuti ya habari iliyojikita katika kuandika  habari za kina   zikiwemo za mazingira kwa lengo la kuelimisha na kuuhabarisha umma.

Subscribe

  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

© 2025 Bajeti

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo

© 2025 Bajeti

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In