• About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Thursday, January 22, 2026
  • Login
Bajeti
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
Bajeti
No Result
View All Result
Home Habari

Washerekea wafungwa kutoroka gerezani

by BAJETI
September 7, 2021
in Habari
0
Share on FacebookShare on Twitter

MAMIA ya raia wa Kipalestina wameandamana  kusherekea kutoroka kwa wafungwa sita waliokuwa wamefungwa katika gereza lenye ulinzi mkali nchini Israel.

Maandamano hayo yamefanyika kuonesha kuwa kitendo cha kutoroka katika gereza lenye ulinzi mkali ni ushujaa kwa raia hao wafungwa hao na kisha kutokomea kusikojulikana.

Washiriki wa maandamano hayo walitangaza mshikamano wao kwa wafungwa hao na wengine wanaodaiwa kushikiliwa kwenye magereza ya Israel.

Wafungwa hao kutoka Palestina ni Zakariya Zubeidi (46), Monadel Yacoub Nafe’at (26), Yaqoub Qassem, Yaqoub Mahmoud Qadri (49), Ayham Nayef Kamamji (35) na Mahmoud Abdullah Ardah (46)

Hata hivyo walifanikiwa kutoroka katika gereza la Gilboa  nchini Israel kupitia mashimo ya chini kwa chini baada ya kuchimba handaki kupitia eneo la chooni na kisha kutokea nje kwenye barabara inayopita karibu na gereza hilo kisha kuondoka.

Hadi sasa hatua za vyombo vya usalama vya Israel havitaoa taarifa ya kuwakama wafungwa hao licha ya kuweka ulinzi mkali na vizuizi katika maeneo mengi katika juhudi za kuwasaka na kisha kuwakamata.

Waziri Mkuu wa Israel Naftali Bennett

Israel leo imefanya mashambulizi ya anga dhidi ya kile imekitaja kuwa kituo cha kijeshi cha kundi la Hamas kwenye Ukanda wa Gaza baada ya madai kuwa maputo yenye viripuzi yalirushwa ndani ya mipaka ya nchi hiyo.

Taarifa ya jeshi la Israel imesema ndege zake za kivita zimekishambulia kituo cha kuunda maroketi cha kundi la Hamas pamoja na eneo lingine la kijeshi kwenye mji mdogo wa Khan Yunis mashariki mwa Ukanda wa Gaza

Israel imesema eneo hilo lenye Kiwanda cha Saruji na ambalo lipo katikati ya makazi ya watu limekuwa likitumika kuchimba mahandaki yanayotumiwa kufanya vitendo vya kigaidi.

Next Post

Wakulima wakwepa mbolea ya viwandani

Watu tisa kati ya 10 hupumua hewa iliyochafuliwa

Jeshi lawaachia wafungwa wa kisiasa

Discussion about this post

Contact us:

BAJETI COMMUNICATION

info@bajeti.co.tz
bajetinews@gmail.com
+255718699828
P.o.BOX 18133,
DAR ES SALAAM,
TANZANIA

Category

  • Habari
  • Magazeti
  • Makala
  • Mazingira
  • Michezo
  • Picha
  • Sayansi na Teknolojia
  • Siasa

Our Visitors

  • Today's visitors:18
  • Today's page views 18
  • Total visitors 13,277
  • Total page views 15,025

Kuhusu Tovuti Hii

Hii ni tovuti ya habari iliyojikita katika kuandika  habari za kina   zikiwemo za mazingira kwa lengo la kuelimisha na kuuhabarisha umma.

Subscribe

  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

© 2025 Bajeti

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo

© 2025 Bajeti

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In