• About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Tuesday, January 13, 2026
  • Login
Bajeti
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
Bajeti
No Result
View All Result
Home Mazingira

Majengo kuwekewa mfumo wa umeme kuchajisha magari

Magari ya diesel na petrol kuondolewa

by bajeti
November 23, 2021
in Mazingira
0
Majengo kuwekewa mfumo wa umeme kuchajisha magari

Waziri Mkuu wa Uingereza Borris Johnson

Share on FacebookShare on Twitter

WAKATI dunia ikiendelea na mapambano ya kuzuia mabadiliko ya hali ya hewa,Uingereza imetangaza kwamba majengo yote mapya yatapaswa kuwa na sehemu za kuchajia magari ya umeme kuanzia mwaka ujao.

Kwa mujibu wa sheria mpya ambayo itatangazwa na Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson, inaeleza kuwa majengo mapya yatahitajika kufuata kanuni hiyo kwa mujibu wa taarifa ya ofisi ya waziri mkuu.

Kanuni hizo zitafanikisha kuwepo na sehemu za kuchajia magari 145,000 zaidi ambazo zitafungwa Uingereza kila mwaka mpaka itakapifikia mwaka 2030 wakati ambapo mauzo ya magari yanayotumia mafuta ya Petroli ama Diesel yatasitishwa.

Kanuni hizo pia zitahitajika kwa nyumba mpya na majengo yasiyo na makazi ya watu kama vile maofisi na maduka makubwa ya mahitaji.

Pia itajumuisha majengo yanayofanyiwa ukarabati mkubwa ambayo yatahitajika kuwa na sehemu za maegesho ya magari mpaka 10

Novemba 3 hadi 12,2021 Viongozi kutoka mataifa zaidi ya 200 walikutana  huko Uingereza katika mkutano wa kilele wa Mabadiliko ya tabia maarufu kama COP26 ambao ulizikutanisha nchi zenye viwanda vingi na zile zinazoongoza kuzalisha hewa chafu ikiwemo China na Maerekani

Viongozi kutoka zaidi ya nchi 120, zinazowakilisha takriban asilimia 90 ya misitu duniani, waliahidi kusitisha na kubadili ukataji miti ifikapo mwaka 2030.

Pia kulikuwa na ahadi ya methane, iliyoongozwa na Marekani na Umoja wa Ulaya, ambapo zaidi ya nchi 100 zilikubali kupunguza utoaji wa gesi hii chafu ifikapo mwaka 2030.

Wakati huo huo, zaidi ya nchi 40 – ikiwa ni pamoja na watumiaji wakuu wa makaa ya mawe kama vile Poland, Vietnam na Chile – zilikubali kuhama kutoka kwa makaa ya mawe, mojawapo ya jenereta kubwa zaidi zinazozalisha hewa ya kaboni

Next Post
Sea Sense pelekeni elimu Pemba kuwalinda Kasa

Sea Sense pelekeni elimu Pemba kuwalinda Kasa

Kasa ‘Daktari wa bahari’ aliye hatarini kutoweka

Kasa 'Daktari wa bahari' aliye hatarini kutoweka

MISA-TAN yataka marekebisho sharia ya habari

MISA-TAN yaomba marekebisho sheria huduma za habari

Discussion about this post

Contact us:

BAJETI COMMUNICATION

info@bajeti.co.tz
bajetinews@gmail.com
+255718699828
P.o.BOX 18133,
DAR ES SALAAM,
TANZANIA

Category

  • Habari
  • Magazeti
  • Makala
  • Mazingira
  • Michezo
  • Picha
  • Sayansi na Teknolojia
  • Siasa

Our Visitors

  • Today's visitors:5
  • Today's page views 5
  • Total visitors 13,061
  • Total page views 14,806

Kuhusu Tovuti Hii

Hii ni tovuti ya habari iliyojikita katika kuandika  habari za kina   zikiwemo za mazingira kwa lengo la kuelimisha na kuuhabarisha umma.

Subscribe

  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

© 2025 Bajeti

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo

© 2025 Bajeti

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In