• About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Tuesday, January 13, 2026
  • Login
Bajeti
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
Bajeti
No Result
View All Result
Home Mazingira

Walionusurika bomu la nyuklia waandamana wakitaka yatokomezwe

by bajeti
August 6, 2022
in Mazingira
0
Walionusurika bomu la nyuklia waandamana wakitaka yatokomezwe

Moto ukiwaka baada ya bomu la atomic (nyuklia) kufanyiwa majaribio

Share on FacebookShare on Twitter

NEW YORK,MAREKANI

MANUSURA wa bomu la atomiki lililodondoshwa mjini Hiroshima nchini Japan mwaka 1945 waliandamana jana  jijini New York Marekani wakitaka silaha hizo kutokomezwa.

Maandamano hayo yamefanyika wakati wa mkutano wa mapitio ya Mkataba wa Kuzuia Ueneaji wa Silaha za Nyuklia unaoendelea jijini humo.

Watu wapatao 100 walishiriki maandamano hayo nje ya jengo la Umoja wa Mataifa ambapo maandamano hayo yalipangwa na mashirika yasiyokuwa ya kiserikali.

Sakuma Kunihiko ambaye ni manusura aliyeshuhudia mji wa Hiroshima ukishambuliwa kwa bomu hilo alishiriki maandamano hayo huku akiwa amebeba bango lililosema kwamba ubinadamu na dunia zinakuja kwanza.

Next Post
Wafugaji waomba Maafisa Ugani kuwatembelea

Wafugaji waomba Maafisa Ugani kuwatembelea

SOS Children’s Villages yasaidia vikundi zaidi ya 30 kupambana ukatili dhidi ya mtoto

SOS Children’s Villages yasaidia vikundi zaidi ya 30 kupambana ukatili dhidi ya mtoto

Umri wa kuishi waafrika waongezeka miaka 10

Umri wa kuishi waafrika waongezeka miaka 10

Discussion about this post

Contact us:

BAJETI COMMUNICATION

info@bajeti.co.tz
bajetinews@gmail.com
+255718699828
P.o.BOX 18133,
DAR ES SALAAM,
TANZANIA

Category

  • Habari
  • Magazeti
  • Makala
  • Mazingira
  • Michezo
  • Picha
  • Sayansi na Teknolojia
  • Siasa

Our Visitors

  • Today's visitors:6
  • Today's page views 6
  • Total visitors 13,062
  • Total page views 14,807

Kuhusu Tovuti Hii

Hii ni tovuti ya habari iliyojikita katika kuandika  habari za kina   zikiwemo za mazingira kwa lengo la kuelimisha na kuuhabarisha umma.

Subscribe

  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

© 2025 Bajeti

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo

© 2025 Bajeti

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In