Makamu wa Rais wa Dkt. Philip Mpango akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Skauti wa Kike kutoka Tanzania Girl Guides Association mara baada ya kufungua Mkutano wa 13 wa Kanda ya Afrika wa Jumuiya za Skauti wa kike unaofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam leo Agosti 22, 2022.(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
© 2025 Bajeti
Login to your account below
Remember Me
Please enter your username or email address to reset your password.
Discussion about this post