• About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Tuesday, January 13, 2026
  • Login
Bajeti
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
Bajeti
No Result
View All Result
Home Habari

Makamu wa Rais Dkt.Philip Mpango kuhutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa

by bajeti
September 19, 2022
in Habari
0
Makamu wa Rais Dkt.Philip Mpango kuhutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango akizungumza na Jumuiya ya watanzania waishio Jijini New York nchini Marekani,(hawapo pichani), mazungumzo yaliofanyika katika Ukumbi wa Ubalozi wa Tanzania Jijini New York leo Septemba 19,2022.(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

Share on FacebookShare on Twitter

NEW YORK,MAREKANI

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amewasili Jijini New York nchini Marekani ambapo anatarajia kumwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Baraza Kuu la 77 la Umoja wa Mataifa (UNGA).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Msaidizi wa Makamu wa Rais – Habari jijini Dodoma leo Septemba 19,2022  Franco Singaile amesema Makamu wa Rais anatarajiwa kuhutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa katika Ukumbi wa Mikutano wa Umoja wa Mataifa Jijini New York nchini Marekani tarehe 22 Septemba 2022.

Aidha ameongeza kuwa Makamu wa Rais ataongoza Ujumbe wa Tanzania katika Mikutano mbalimbali inayohusu Uchumi, Elimu, Afya, Demokrasia na Malengo ya Maendeleo Endelevu ambayo Tanzania imealikwa na nchi washirika, Taasisi za kimataifa na Asasi binafsi.

Baadhi ya Watanzania wanaounda Jumuiya ya Watanzania wanaoishi jijini New York nchini Marekani wakimsikiliza Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Philip Mpango (hayupo pichani),mazungumzo yaliyofanyika leo Septemba 19,2022 katika ubalozi wa Tanzania nchini humo(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

 

Next Post
Serikali yakitaka Kiwanda cha A to Z kukamilisha mtambo wa kutibu majitaka

Serikali yakitaka Kiwanda cha A to Z kukamilisha mtambo wa kutibu majitaka

Vyombo vya habari vyaombwa  kuandika habari za Kanisa

Vyombo vya habari vyaombwa kuandika habari za Kanisa

Mchanga;rasilimali ya pili kutumika duniani baada ya maji

Mchanga;rasilimali ya pili kutumika duniani baada ya maji

Discussion about this post

Contact us:

BAJETI COMMUNICATION

info@bajeti.co.tz
bajetinews@gmail.com
+255718699828
P.o.BOX 18133,
DAR ES SALAAM,
TANZANIA

Category

  • Habari
  • Magazeti
  • Makala
  • Mazingira
  • Michezo
  • Picha
  • Sayansi na Teknolojia
  • Siasa

Our Visitors

  • Today's visitors:1
  • Today's page views 1
  • Total visitors 13,057
  • Total page views 14,802

Kuhusu Tovuti Hii

Hii ni tovuti ya habari iliyojikita katika kuandika  habari za kina   zikiwemo za mazingira kwa lengo la kuelimisha na kuuhabarisha umma.

Subscribe

  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

© 2025 Bajeti

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo

© 2025 Bajeti

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In