• About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Tuesday, January 13, 2026
  • Login
Bajeti
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
Bajeti
No Result
View All Result
Home Mazingira

Waliovamia Msitu wa Bondo watakiwa kuondoka

by bajeti
September 19, 2022
in Mazingira
0
Waliovamia Msitu wa Bondo watakiwa kuondoka

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mary Masanja akijibu maswali ya wabunge bungeni jijini Dodoma leo Septemba 19,2022.Picha na mpigapicha wetu

Share on FacebookShare on Twitter

 

NA MWANDISHI WETU,DODOMA

WANANCHI waliovamia Hifadhi ya Msitu wa Bondo uliopo katika Kijiji cha Mswaki,Kata ya Msanja wilayani Kilindi Mkoa wa Tanga wametakiwa kuondoka ndani ya hifadhi hiyo ifikapo Desemba 30,2022.

Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja kwa niaba ya Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Dkt.Pindi Chana, wakati  alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Kilindi  Omar Mohamed Kigua bungeni jijini Dodoma leo Septemba 19,2022.

Amesema Serikali imeweka matangazo ya kuwataka wananchi wote kuondoka ndani ya hifadhi hiyo ifikapo Desemba 30,2022.   .

“Kwa nyakati tofauti hifadhi hii imekuwa ikivamiwa kwa ajili ya shughuli za kibinadamu zikiwemo kilimo,makazi na kuchungia mifugo” amesema  Masanja .

Aidha, amebainisha kuwa Wizara ya Maliasili na Utalii kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya inaendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa Uhifadhi na matumizi endelevu ya rasilimali misitu nchini.

Next Post
Makamu wa Rais Dkt.Philip Mpango kuhutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa

Makamu wa Rais Dkt.Philip Mpango kuhutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa

Serikali yakitaka Kiwanda cha A to Z kukamilisha mtambo wa kutibu majitaka

Serikali yakitaka Kiwanda cha A to Z kukamilisha mtambo wa kutibu majitaka

Vyombo vya habari vyaombwa  kuandika habari za Kanisa

Vyombo vya habari vyaombwa kuandika habari za Kanisa

Discussion about this post

Contact us:

BAJETI COMMUNICATION

info@bajeti.co.tz
bajetinews@gmail.com
+255718699828
P.o.BOX 18133,
DAR ES SALAAM,
TANZANIA

Category

  • Habari
  • Magazeti
  • Makala
  • Mazingira
  • Michezo
  • Picha
  • Sayansi na Teknolojia
  • Siasa

Our Visitors

  • Today's visitors:0
  • Today's page views 0
  • Total visitors 13,056
  • Total page views 14,801

Kuhusu Tovuti Hii

Hii ni tovuti ya habari iliyojikita katika kuandika  habari za kina   zikiwemo za mazingira kwa lengo la kuelimisha na kuuhabarisha umma.

Subscribe

  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

© 2025 Bajeti

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo

© 2025 Bajeti

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In