ANKARA,UTURUKI
TIMU kutoka Tanzania ya watu wenye ulemavu Tembo Warriors ambayo ilifuzu kucheza mashindano hayo imeshiriki ufunguzi wa kombe hilo nchini Uturuki
Shamrashamra za ufunguzi wa kombe hilo zimefanyika katika uwanja wa Ulker uliopo nchini Uturuki Septemba 30, 2022.
Mechi ya kwanza itachezwa dhidi ya Uhispania leo Oktoba mosi, 2022 majira ya saa 7:00 mchana.
Katika mechi ya ufunguzi wenyeji Uturuki wameshinda jumla ya mabao 3-0 dhidi ya Ufaransa




Discussion about this post