• About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Tuesday, January 13, 2026
  • Login
Bajeti
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
Bajeti
No Result
View All Result
Home Habari

Serikali yaanzisha miradi 76 ya Utalii na Utamaduni

by bajeti
October 10, 2022
in Habari
0
Serikali yaanzisha miradi 76 ya Utalii na Utamaduni

Wanawake wa jamii ya kimasai wakiwa katikaUzinduzi wa Tamasha la Maasai Festival litakalofanyika mwaka 2023 jijini Arusha Oktoba 7,2022(Picha na mpigapicha wetu)

Share on FacebookShare on Twitter

NA MWANDISHI WETU,ARUSHA

WAZIRI  wa Maliasili na Utalii Balozi  Dkt. Pindi Chana amesema miradi 76 ya Utalii wa Utamaduni imeanzishwa katika Kanda za Kaskazini, Kusini na Kanda ya Ziwa ambazo zinaendelea kutangaza nchi ya Tanzania.

Balozi Dkt.Chana amesema hayo Oktoba 07, 2022 jijini Arusha wakati akitoa salamu za wizara yake katika Uzinduzi wa Tamasha la Maasai Festival litakalofanyika mwaka  2023, ambapo mgeni rasmi katika hafla hiyo alikua  Naibu Waziri wa Utamaduni,  Sanaa na  Michezo Pauline Gekul.

“Wizara imetenga eneo la Makumbusho lililopo Dar es Salaam kwa ajili ya kutangaza Utalii wa Utamaduni ikiwemo Mila, Desturi, vyakula, na mavazi” amesema Balozi Dkt.Chana.

Balozi Dkt.Chana ameongeza kuwa, Maasai Festival ni moja ya mazao ya Utalii wa Utamaduni ambayo yatasaidia kutangaza nchi vyema na kuongeza idadi ya watalii kutembelea vivutio vya nchi na kuongeza pato la Taifa.

Tamasha hilo ni miongoni mwa matamasha ambayo yanafanyika nchini kwa lengo wa kuhamasisha, kutangaza na kurithisha Utamaduni wa Watanzania.

 

Next Post
Mhagama:Serikali kusimamia mikakati kufungua uchumi wa mtu mmoja mmoja

Mhagama:Serikali kusimamia mikakati kufungua uchumi wa mtu mmoja mmoja

Serikali yaanzisha Mpango wa Kitaifa Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira

Serikali yaanzisha Mpango wa Kitaifa Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira

Prof.Tibaijuka ataka wazazi kuwalinda watoto dhidi ya mitandao ya kijamii

Prof.Tibaijuka ataka wazazi kuwalinda watoto dhidi ya mitandao ya kijamii

Discussion about this post

Contact us:

BAJETI COMMUNICATION

info@bajeti.co.tz
bajetinews@gmail.com
+255718699828
P.o.BOX 18133,
DAR ES SALAAM,
TANZANIA

Category

  • Habari
  • Magazeti
  • Makala
  • Mazingira
  • Michezo
  • Picha
  • Sayansi na Teknolojia
  • Siasa

Our Visitors

  • Today's visitors:1
  • Today's page views 1
  • Total visitors 13,057
  • Total page views 14,802

Kuhusu Tovuti Hii

Hii ni tovuti ya habari iliyojikita katika kuandika  habari za kina   zikiwemo za mazingira kwa lengo la kuelimisha na kuuhabarisha umma.

Subscribe

  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

© 2025 Bajeti

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo

© 2025 Bajeti

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In