• About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Tuesday, January 13, 2026
  • Login
Bajeti
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
Bajeti
No Result
View All Result
Home Habari

Mhagama:Serikali kusimamia mikakati kufungua uchumi wa mtu mmoja mmoja

by bajeti
October 11, 2022
in Habari
0
Mhagama:Serikali kusimamia mikakati kufungua uchumi wa mtu mmoja mmoja
Share on FacebookShare on Twitter

NA MIRIAM SARAKIKYA, ARUSHA.

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Jenista Mhagama amesema Serikali itaendelea  kusimamia Sera,Mipango na mikakati ili kusaidia kufungua uchumi wa mtu mmoja mmoja .

Ameyasema hayo Oktoba 10,2022  mkoani Arusha wakati akizindua Kituo Jumuishi cha Urasimishaji na Uendelezaji wa Biashara katika Halmashauri ya Jiji la Arusha.

Mhagama amesema katika kusimamia sera , mipango na mikakati yote  ya serikali wanaamini kuwa itaongeza faida fungamanishi kwa wananchi na kuleta uchumi wa pamoja na wa jumla.

Ameongeza kuwa  kutasaidia kufungua uchumi wa wananchi  ili nchi iweze kuwa na kipato cha juu na kuondoka kwenye uchumi wa kati.

Mahagama  amewataka watumishi wote wa kituo hicho  kuonyesha mfano na umuhimu wake kwa kutoa huduma bora na kwa wananchi wote wa Jiji la Arusha.

Awali akitoa taarifa ya kituo hicho Mratibu wa Urasimishaji wa Biashara nchini Dr Seraphia Mgembe amesema wameweza kutoa mafunzo kwa wafanyabiashara ya namna ya kufanya biashara  ambapo lengo ni kuhakikisha wafanyabiashara wanafanya biashara zinazokua.

Naye Afisa Huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi Mkoa wa Arusha  Eni Mwanga  ameeleza kuwa kituo hicho kitasaidia wananchi kupata elimu ya mlipa kodi pamoja namba ya utambulisho (TN) ili wafanyabiashara hao waweze kufanya kazi zao kwa amani na utulivu.

 

Next Post
Serikali yaanzisha Mpango wa Kitaifa Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira

Serikali yaanzisha Mpango wa Kitaifa Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira

Prof.Tibaijuka ataka wazazi kuwalinda watoto dhidi ya mitandao ya kijamii

Prof.Tibaijuka ataka wazazi kuwalinda watoto dhidi ya mitandao ya kijamii

Kanda ya Ziwa kunufaika na miradi ya kimkakati

Kanda ya Ziwa kunufaika na miradi ya kimkakati

Discussion about this post

Contact us:

BAJETI COMMUNICATION

info@bajeti.co.tz
bajetinews@gmail.com
+255718699828
P.o.BOX 18133,
DAR ES SALAAM,
TANZANIA

Category

  • Habari
  • Magazeti
  • Makala
  • Mazingira
  • Michezo
  • Picha
  • Sayansi na Teknolojia
  • Siasa

Our Visitors

  • Today's visitors:9
  • Today's page views 9
  • Total visitors 13,065
  • Total page views 14,810

Kuhusu Tovuti Hii

Hii ni tovuti ya habari iliyojikita katika kuandika  habari za kina   zikiwemo za mazingira kwa lengo la kuelimisha na kuuhabarisha umma.

Subscribe

  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

© 2025 Bajeti

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo

© 2025 Bajeti

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In