• About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Tuesday, January 13, 2026
  • Login
Bajeti
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
Bajeti
No Result
View All Result
Home Habari

Wasimamizi vyombo vya habari vya China,Afrika wakutana Kenya

by bajeti
November 22, 2022
in Habari
0
Wasimamizi vyombo vya habari vya China,Afrika wakutana Kenya
Share on FacebookShare on Twitter

NAIROBI,KENYA

SHIRIKA Kuu la Utangazaji la China (CMG) Afrika limeandaa semina ya wasimamizi wa vyombo vya habari vya nchi hiyo na Afrika yenye kauli mbiu ya “China na Dunia katika Safari Mpya”

Semina hiyo ambayo imefanyika jijini Nairobi, Kenya,iliwahusu wasimamizi wa vyombo vya habari na wataalam zaidi ya 60 kutoka nchi 20 za Afrika zikiwemo Kenya, Rwanda, Tanzania, Madagascar, Sudan Kusini, Zambia na Sierra Leone

 

Katika semina hiyo ambayo majadiliano ya kina yalifanyika juu ya ajenda kama “China katika safari mpya ina maana gani kwa Afrika”

Majadiliano mengine yamefanyika juu ya mada “safari mpya ya kujenga jumuiya yenye hatma ya pamoja kati ya China na Afrika inakwenda wapi” na “ushirikiano wa vyombo vya habari vya China na Afrika utaleta nini kwa jumuiya yenye hatma ya pamoja kati ya pande hizo mbili”.

 

Washiriki wamekubaliana kuwa maendeleo mapya baada ya Mkutano Mkuu wa 20 wa Chama cha Kikomunisti cha China yatatoa fursa mpya kwa Afrika, na pia ni injini mpya kwa ujenzi wa jumuiya yenye hatma ya pamoja kati ya China na Afrika, na kwamba ushirikiano wa vyombo vya habari vya China na Afrika una nguvu kubwa ambazo hazijatumiwa ipasavyo.

Mkurugenzi wa Taasisi ya Sera ya Afrika nchini Kenya Profesa Peter Kagwanja amesema kwenye hotuba yake kuwa China inatafuta maendeleo kwa amani, kitu ambacho kinaendana na maslahi ya watu wengi.

Amesema Afrika na China zote zina ustaarabu wenye historia ndefu, zote zilikuwa na historia ya kuteswa na nchi za magharibi, na zote zinakabiliwa na suala la maendeleo.

Next Post
Serikali yazitaka nchi za SADC kudhibiti   uchomaji holela wa taka unaosababisha  sumu ya uPOPs

Serikali yazitaka nchi za SADC kudhibiti uchomaji holela wa taka unaosababisha sumu ya uPOPs

Makamishna wa Tume za Uchaguzi kutoka nchi tisa wakutana Dar es Salaam

Dkt.Mpango awataka wataalamu,wawekezaji kujadili rasilimali za fukwe kuongeza mchango wake kiuchumi

Dkt.Mpango awataka wataalamu,wawekezaji kujadili rasilimali za fukwe kuongeza mchango wake kiuchumi

Discussion about this post

Contact us:

BAJETI COMMUNICATION

info@bajeti.co.tz
bajetinews@gmail.com
+255718699828
P.o.BOX 18133,
DAR ES SALAAM,
TANZANIA

Category

  • Habari
  • Magazeti
  • Makala
  • Mazingira
  • Michezo
  • Picha
  • Sayansi na Teknolojia
  • Siasa

Our Visitors

  • Today's visitors:1
  • Today's page views 1
  • Total visitors 13,057
  • Total page views 14,802

Kuhusu Tovuti Hii

Hii ni tovuti ya habari iliyojikita katika kuandika  habari za kina   zikiwemo za mazingira kwa lengo la kuelimisha na kuuhabarisha umma.

Subscribe

  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

© 2025 Bajeti

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo

© 2025 Bajeti

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In