• About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Sunday, March 8, 2026
  • Login
Bajeti
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
Bajeti
No Result
View All Result
Home Mazingira

Mtoto wa miaka sita aokolewa akiwa hai chini ya kifusi

by bajeti
November 24, 2022
in Mazingira
0
Mtoto wa miaka sita aokolewa akiwa hai chini ya kifusi

Nyumba zilizobomolewa na tetemeko la ardhi Indonesia

Share on FacebookShare on Twitter

JAKARTA,INDONESIA

WAFANYAKAZI  wa uokoaji nchini Indonesia wamemkuta mvulana mwenye umri wa miaka sita akiwa hai kutoka kwenye kifusi huku muda wa saa 72 muhimu za kutafuta manusura ukikaribia kumalizika baada ya tetemeko la ardhi lililotokea Jumatatu wiki hii na kuuwa watu 278..

Tetemeko hilo lenye ukubwa wa 5.6 katika kipimo cha Richter lilitokea katika jimbo la Java Magharibi ambapo Mamlaka ya majanga nchini humo imethibitisha vifo 271 hadi kufikia sasa na  watu 40 wameripotiwa hawajulikani walipo huku 2,000 wakijeruhiwa.

Mamlaka hiyo iliripoti kuwa mvulana huyo ameokolewa katika wilaya ya Cianjur Novemba 23,2022.

Binamu yake aliviambia vyombo vya habari vya nchi hiyo kuwa tetemeko hilo lilitokea wakati mvulana huyo akiangalia runinga na kuongeza kuwa kulikuwa na watu watano ndani ya nyumba, yao akiwemo mvulana huyo lakini wamenusurika watatu pekee.

Katika hospitali kubwa ya Cianjur, watu wanapatiwa matibabu nje kutokana na nyufa kwenye kuta na uharibifu mwingine katika majengo hayo.

Mamlaka nchini humo zinaamini watu wengi wamekwama katika maporomoko ya ardhi yaliyosababishwa na tetemeko hilo.

Juhudi za uokoaji kwa kutumia mashine kubwa zimezuiwa na mitetemo  na mvua ambapo  karibu mitetemo 170 imetokea baada ya tetemeko la awali.

 

Next Post
Mabalozi kushuhudia uzinduzi wa sarakasi

Mabalozi kushuhudia uzinduzi wa sarakasi

Wananchi wanaosababisha nchi kuwekewa vikwazo kuadhibiwa

Wananchi wanaosababisha nchi kuwekewa vikwazo kuadhibiwa

Mradi wa LDSF wasaidia wananchi kumiliki ardhi

Mradi wa LDSF wasaidia wananchi kumiliki ardhi

Discussion about this post

Contact us:

BAJETI COMMUNICATION

info@bajeti.co.tz
bajetinews@gmail.com
+255718699828
P.o.BOX 18133,
DAR ES SALAAM,
TANZANIA

Category

  • Habari
  • Magazeti
  • Makala
  • Mazingira
  • Michezo
  • Picha
  • Sayansi na Teknolojia
  • Siasa

Our Visitors

  • Today's visitors:16
  • Today's page views 16
  • Total visitors 14,898
  • Total page views 16,756

Kuhusu Tovuti Hii

Hii ni tovuti ya habari iliyojikita katika kuandika  habari za kina   zikiwemo za mazingira kwa lengo la kuelimisha na kuuhabarisha umma.

Subscribe

  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

© 2025 Bajeti

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo

© 2025 Bajeti

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In