• About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Sunday, January 18, 2026
  • Login
Bajeti
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
Bajeti
No Result
View All Result
Home Michezo

Mabalozi kushuhudia uzinduzi wa sarakasi

by bajeti
November 25, 2022
in Michezo
0
Mabalozi kushuhudia uzinduzi wa sarakasi

Baadhi ya vikundi vya maonesho ya sarakasi wanaozindua michezo hiyo kitaifa katika ukumbi wa makumbusho ya taifa jijini Dar es Salaam Novemba 26,2022.(Picha na mpigapicha wetu)

Share on FacebookShare on Twitter

NA MWANDISHI WETU

CHAMA cha Sarakasi Tanzania (CHASATA) kimeandaa uzinduzi wa kuinua vipaji vya mchezo huo utakaofanyika Novemba 26,2022 jijini Dar es Salaam ambapo mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao wamealikwa

Katika uzinduzi huo ukaofanyika katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa ya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam utaambatana na vikundi vingine ambavyo vitafanya maonesho ya sanaa ya ngoma za asili na sarakasi kikiwemo cha Dragon Acrobatic group, Happy Centre, Shule ya sèkondari ya Hazina na kikundi cha ngoma za asili cha Mlonge Culture troup.

Akizungumzia uzinduzi huo na waandishi wa habari leo Novemba 25,2022 jijini Dar es Salaam,Mwenyekiti wa chama hicho Selemani Pembe amesema mbali ya kutambulisha sarakasi kwa jamii pia itatoa nafasi kwa vijana wanaotaka kujifunza mchezo huo kujiandikisha na kupewa mafunzo ya sarakasi katika vikundi hivyo.

Amesema maandalizi ya onesho hilo yamekamilika na mabalozi wanaoziwakilisha nchi mbalimbali wamealikwa ambapo linategemea kuanza majira ya saa 12 jioni hadi saa 3:00 usiku.

Hata hivyo Pembe amebainisha kuwa kila mtanzania anaruhusiwa kufika na hakutakuwa na kiingilio kwani sarakasi ni sanaa kama zilivyo zingine.

 

Baadhi ya vikundi vya sarakasi vinavyounda Chama cha Sarakasi Tanzania (CHASATA) ambao wanatarajiwa kuzindua onesha la kuinua vipaji jijini Dar es Salaam Novemba 26,2022.(Picha na mpigapicha wetu)

 

 

 

 

 

Next Post
Wananchi wanaosababisha nchi kuwekewa vikwazo kuadhibiwa

Wananchi wanaosababisha nchi kuwekewa vikwazo kuadhibiwa

Mradi wa LDSF wasaidia wananchi kumiliki ardhi

Mradi wa LDSF wasaidia wananchi kumiliki ardhi

Dkt.Mpango:Viongozi wa dini  saidieni kulea vijana kimaadili ili Taifa liwe kwenye mikono salama

Dkt.Mpango:Viongozi wa dini saidieni kulea vijana kimaadili ili Taifa liwe kwenye mikono salama

Discussion about this post

Contact us:

BAJETI COMMUNICATION

info@bajeti.co.tz
bajetinews@gmail.com
+255718699828
P.o.BOX 18133,
DAR ES SALAAM,
TANZANIA

Category

  • Habari
  • Magazeti
  • Makala
  • Mazingira
  • Michezo
  • Picha
  • Sayansi na Teknolojia
  • Siasa

Our Visitors

  • Today's visitors:25
  • Today's page views 25
  • Total visitors 13,182
  • Total page views 14,928

Kuhusu Tovuti Hii

Hii ni tovuti ya habari iliyojikita katika kuandika  habari za kina   zikiwemo za mazingira kwa lengo la kuelimisha na kuuhabarisha umma.

Subscribe

  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

© 2025 Bajeti

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo

© 2025 Bajeti

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In