• About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Tuesday, January 13, 2026
  • Login
Bajeti
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
Bajeti
No Result
View All Result
Home Habari

Serikali,Wadau Sayansi na Teknolojia waombwa kusaidia bunifu ndogondogo

by bajeti
April 10, 2023
in Habari
0
Serikali,Wadau Sayansi na Teknolojia waombwa kusaidia bunifu ndogondogo

Mkurugenzi wa Kampuni ya Nyirenda's Company Limited Wilbroad Nyirenda (kustoto) akiwaonesha mita za maji alizobuni za kutumia mfumo wa kulipia kama ving'amuzi baadhi na viongozi wa serikali za vijiji jinsi mita hizo zinavyofanya kazi.

Share on FacebookShare on Twitter

NA MWANDISHI WETU

MKURUGENZI wa Kampuni ya Nyirenda Company Limited Wilbroad Nyirenda ameiomba Serikali na wadau wengine wa Sayansi na Teknolojia kuendelea kusaidia bunifu ndogondogo  kwa kuwa zinaweza kuifanya Tanzania kuwa bora kiteknolojia.

Nyirenda amesema bidhaa kama ya Mita ya Maji aliyoibuni ambayo hulipia kulingana na matumizi yako na yenye mfumo wa mtu kutofika kusoma mita hizo kujua uniti zilizotumika utaongeza mapato kwa Serikali na ajira kwa watanzania.

Nyirenda ametoa wito huo Aprili 9,2023 wakati akizungumza na tovuti hii ya Bajeti jijini Dar es Salaam juu ya umuhimu wa kuendeleza bunifu zinazobuniwa na watanzania ili kuifanya nchi kujitegemea na teknolojia yake wakiwemo wanasayansi .

Amesema bunifu zipo nyingi na vinaja wanajitahidi kuziendeleza hivyo kuwashika mkono ili kuendeleza bunifu zao ni jambo muhimu kwa maendeleo ya nchi.

“Tunawaomba wadau na serikali waendelee kusaidia wabunifu hasa vijana ili kutimiza malengo yao na kuwa mkombozi kwa jamii”amesema Nyirenda

Nyirenda ameongeza kuwa Tanzania inaweza kuzalisha ajira nyingi kupitia bunifu hizo za vijana na nchi kukua kiteknolojia  na kujitegemea .

Awali Nyirenda aliishukuru Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) kwa kumpa kumsaidia kubadilisha kutoka ubunifu kwenda kwenye vitendo halisi wa kutengeneza mita za kisasa kwa kumpatia kiasi cha Sh.Milioni 250 kuanzisha kiwanda kidogo cha kuzalishia  mita hizo .

 

 

Next Post
CAG Kichere apendekeza Vyura wa Kihansi kurudishwa nchini kutoka Marekani

CAG Kichere apendekeza Vyura wa Kihansi kurudishwa nchini kutoka Marekani

Mbunifu wa Kaboni  ataka kushirikiana na WFP

Mbunifu wa Kaboni ataka kushirikiana na WFP

SHIVYAWATA washukuru mfumo wa walemavu wa miguu kuendesha gari

SHIVYAWATA washukuru mfumo wa walemavu wa miguu kuendesha gari

Discussion about this post

Contact us:

BAJETI COMMUNICATION

info@bajeti.co.tz
bajetinews@gmail.com
+255718699828
P.o.BOX 18133,
DAR ES SALAAM,
TANZANIA

Category

  • Habari
  • Magazeti
  • Makala
  • Mazingira
  • Michezo
  • Picha
  • Sayansi na Teknolojia
  • Siasa

Our Visitors

  • Today's visitors:5
  • Today's page views 5
  • Total visitors 13,061
  • Total page views 14,806

Kuhusu Tovuti Hii

Hii ni tovuti ya habari iliyojikita katika kuandika  habari za kina   zikiwemo za mazingira kwa lengo la kuelimisha na kuuhabarisha umma.

Subscribe

  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

© 2025 Bajeti

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo

© 2025 Bajeti

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In