Nguzo za daraja la Aguwani-Sulttanganj lenye urefu wa kilomita 3.6 linalounganisha wilaya za Sultanganj na Khagaria katika Jimbo la Bihar nchini India zikianguka wakati wa ujenzi katika Mto Ganges Juni 4,2023 hali iliyoifanya serikali ya nchi hiyo kuamuru uchunguzi ufanyike.Kampuni ya S.P. Singla Constructions ambayo inajenga daraja hilo kwa gharama ya Sh.Bilioni 17 ilitakiwa kulikamilisha mwaka 2019.
Discussion about this post