Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Bi. Mary Maganga akiagana na Balozi wa Tanzania nchini Kenya na Mwakilishi wa Kudumu wa Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP) Dkt. John Simbachawene muda mfupi mara baada ya kumalizika kwa kikao baina yao kilichofanyika katika Ofisi za Makamu wa Rais, Mji wa Serikali Mtumba Jijini Dodoma leo (Jumatano Juni 28, 2023).Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais
© 2025 Bajeti
Login to your account below
Remember Me
Please enter your username or email address to reset your password.
Discussion about this post