• About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Tuesday, January 13, 2026
  • Login
Bajeti
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
Bajeti
No Result
View All Result
Home Habari

Poland yaomba kujumuishwa mgawo wa nyuklia,Urusi yaonya kutokea vita

by bajeti
July 2, 2023
in Habari
0
Poland yaomba kujumuishwa mgawo wa nyuklia,Urusi yaonya kutokea vita

Silaha za maangamizi(nyuklia)za Urusi

Share on FacebookShare on Twitter

WARSAW,POLAND

RAIS wa zamani wa Urusi Dmitry Medvedev amesema vita vya nyuklia vinaweza kuanza ikiwa Marekani itaikubalia Poland ya kuweka silaha za nyuklia katika ardhi ya nchi hiyo.

Medvedev ambaye ni Naibu Mwenyekiti wa Baraza la Usalama wa Taifa la Urusi ametoa kauli hiyo siku chache baada ya Waziri Mkuu wa Poland Mateusz Morawiecki kuuomba Umoja wa Kijihami wa Nchi za Magharibi(NATO) kuijumuisha nchi yake katika mpango wa kugawana Nyuklia wa Umoja huo.

Medvedev alitoa majibu hayo katika akaunti yake ya mtandao Telegraph mnamo Julai Mosi,2023 baada ya kuulizwa maoni yake kutoka kwa waaandishi wa habari juu ya Poland kuomba mgawao huo.

Rais huyo wa zamani wa Urusi aliuelezea uongozi wa Poland na kuonya kuwa  kuwepo kwa silaha za nyuklia nchini humo kungemaanisha kwamba zitatumika.

Akizungumza na waandishi wa habari mjini Brussels Juni 30,2023 Waziri Mkuu wa Poland Mateusz Morawiecki alisema kutokana na ukweli kwamba Urusi inakusudia kupeleka silaha za kinyuklia nchini Belarus,wanatoa wanaiomba NATO kuwaruhusu katika ugawanaji wa Nyuklia.

Mpango wa Kugawana Nyuklia wa NATO umeshuhudia mabomu ya nyuklia ya Marekani B-61 yakipelekwa  katika maeneo mbalimbali kote barani Ulaya.

Kutokana na usambazaji huo,Urusi nayo iliamua kupelekwa silaha za nyuklia huko Belarus mnamo mwezi Machi na makubaliano yalikamilishwa Mei mwaka 2023.

Hata hivyo katikati ya mwezi Juni, Rais Vladmir Putin wa Urusi alimweleza mwenzake Rais wa Belarus Alexander Lukashenko kwamba maandalizi yatakamilika mapema Julai, huku kukiwa na vichwa kadhaa vya nyuklia vikiwa vimeanza kupelekwa.

Awali Rais Lukasjenko alieleza sababu za kuomba silaha hizo kuwa kulikuwa na tishio lililoelekezwa kwa nchi yake, ambayo ilibidi kukabiliana nalo na  kusisitiza kuwa hatasita kutumia silaha hizi za Urusi katika uchokozi wowote dhidi ya Belarus

Next Post
Dkt.Mpango:Tanzania inaunga mkono jitihada za kuimarisha hali ya usalama Mashariki mwa DRC

Dkt.Mpango:Tanzania inaunga mkono jitihada za kuimarisha hali ya usalama Mashariki mwa DRC

Demokrasia yaanza kuwashinda wamarekani

Demokrasia yaanza kuwashinda wamarekani

Bilioni 5.68 zatumika kuwalisha wahamiaji haramu

Bilioni 5.68 zatumika kuwalisha wahamiaji haramu

Discussion about this post

Contact us:

BAJETI COMMUNICATION

info@bajeti.co.tz
bajetinews@gmail.com
+255718699828
P.o.BOX 18133,
DAR ES SALAAM,
TANZANIA

Category

  • Habari
  • Magazeti
  • Makala
  • Mazingira
  • Michezo
  • Picha
  • Sayansi na Teknolojia
  • Siasa

Our Visitors

  • Today's visitors:9
  • Today's page views 9
  • Total visitors 13,065
  • Total page views 14,810

Kuhusu Tovuti Hii

Hii ni tovuti ya habari iliyojikita katika kuandika  habari za kina   zikiwemo za mazingira kwa lengo la kuelimisha na kuuhabarisha umma.

Subscribe

  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

© 2025 Bajeti

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo

© 2025 Bajeti

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In