Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Daniel Godfrey Chongolo (katikati)akizungumza jambo na Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa (kulia)pamoja na Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba kabla ya ufunguzi wa Mkutano wa Mashauriano kati ya Serikali na Makandarasi Wazawa na wadau mbalimbali wa sekta ya ujenzi wa kujadili nafasi yao katika utekelezaji wa miradi na masuala yanayohusu sekta hiyo, uliofanyika Novemba 21, 2023 jijini Dodoma
Discussion about this post