Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Zanzibar Alhaji Dkt.Mohamed Said Dimwa, akizungumza na wananchi wa jimbo la Donge katika hitma ya kumuombea Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili marehemu Mzee Ally Hassan Mwinyi iliyofanyika katika Msikiti wa Donge Pangamaua Mkoa wa Kaskazini Unguja.(Picha na CCM)
© 2025 Bajeti
Login to your account below
Remember Me
Please enter your username or email address to reset your password.
Discussion about this post