Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima na Mbunge wa Jimbo la Kawe Josephat Gwajima wa na Makamu wa Pili wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla pamoja na viongozi mbalimbali wakati wa Dua na Maombi ya kuliombea Taifa kuelekea Miaka 60 ya Muungano yaliyofanyika katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma Aprili 22, 2024.
Discussion about this post