• About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Thursday, January 22, 2026
  • Login
Bajeti
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
Bajeti
No Result
View All Result
Home Habari

Shilingi ya Tanzania yaimarika dhidi ya dola ya Marekani

by bajeti
December 2, 2024
in Habari
0
Share on FacebookShare on Twitter

NA MWANDISHI WETU

SHILINGI  ya Tanzania imeimarika dhidi ya dola ya Marekani katika wiki za hivi karibuni hatua ambayo ni habari njema kwa wazalishaji wa viwandani, waagizaji wa magari na watumiaji wa mafuta, miongoni mwa wengine.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na kituo cha habari cha China cha CRI kinachomilikiwa na Serikali ya nchi hiyo ya Novemba 29,2024, imenukuu takwimu rasmi kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT) zinazoonesha kuwa, sarafu ya ndani imepanda thamani kwa karibu asilimia tatu katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita.

‘’Oktoba 25, 2024, BoT ilinukuu dola moja ikibadilishwa kwa Sh2,703.6/ Sh2,730.64; lakini hadi jana, thamani ya shilingi ilikuwa imeongezeka hadi Sh2,652.84/Sh2,652.1.

‘’Kiwango cha wastani cha kubadilisha fedha kiliimarika kutoka Sh2,717.122 Oktoba 25 hadi Sh2,638.97 kufikia jana.

Kuimarika kwa shilingi kunatarajiwa kuleta utulivu au kupunguza gharama za bidhaa kubwa zinazoagizwa, ikiwa ni pamoja na bidhaa za mafuta, magari na vipuri vyake, sukari kwa matumizi ya viwandani, bidhaa za dawa, chuma na vyuma, pamoja na vitu vyote hivi, kwa kawaida huchangia sehemu kubwa ya gharama za uagizaji Tanzania.

 

Next Post
Karibu Tanzania Rais Joe Biden wa Marekani

Karibu Tanzania Rais Joe Biden wa Marekani

Mwanasheria Mkuu wa Serikali Hamza Johari aungana na Rais Dkt.Samia kuadhimisha Miaka 63 ya Uhuru wa Tanzania Bara

Mwanasheria Mkuu wa Serikali Hamza Johari aungana na Rais Dkt.Samia kuadhimisha Miaka 63 ya Uhuru wa Tanzania Bara

Miradi ya Iyumbu Nyumba 1000 na Medeli ilivyotatua changamoto ya makazi Dodoma

Miradi ya Iyumbu Nyumba 1000 na Medeli ilivyotatua changamoto ya makazi Dodoma

Discussion about this post

Contact us:

BAJETI COMMUNICATION

info@bajeti.co.tz
bajetinews@gmail.com
+255718699828
P.o.BOX 18133,
DAR ES SALAAM,
TANZANIA

Category

  • Habari
  • Magazeti
  • Makala
  • Mazingira
  • Michezo
  • Picha
  • Sayansi na Teknolojia
  • Siasa

Our Visitors

  • Today's visitors:18
  • Today's page views 18
  • Total visitors 13,277
  • Total page views 15,025

Kuhusu Tovuti Hii

Hii ni tovuti ya habari iliyojikita katika kuandika  habari za kina   zikiwemo za mazingira kwa lengo la kuelimisha na kuuhabarisha umma.

Subscribe

  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

© 2025 Bajeti

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo

© 2025 Bajeti

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In