• About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Tuesday, January 13, 2026
  • Login
Bajeti
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
Bajeti
No Result
View All Result
Home Habari

Wapakistan vinara biashara dawa za kulevya

by bajeti
August 6, 2025
in Habari
0
Kamishna Jenerali Lyimo:Tutateketeza dawa za kulevya nchi nzima

Wafanyakazi wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa a Kulevya (DCEA) wakishiriki zoezi la uteketezaji wa dawa hizo katika Kiwanda cha Saruji cha Twiga kilichopo Wazo mkoani Dar es Salaam desemba 19,2024

Share on FacebookShare on Twitter

NA MWANDISHI WETU

RAIA  nane kutoka nchini Pakistan wamekamatwa nchini kwa kujihusisha na dawa za kulevya   wakiwemo pia kutoka Jamhuri ya Demokrasia ya Congo(DRC) na Visiwa vya Comoro.

Raia wengine waliokamatwa ni pamoja na raia kutoka Brazil ambapo kwa pamoja wanajumuisha watuhumiwa ambao ni raia wa kigeni kufikia 11.

Kwa mujibu wa Taarifa ya Hali ya Dawa za Kulevya ya Mwaka 2024 iliyotolewa Juni,2025 na kuwekwa saini na Waziri wa Nchi ,Ofisi ya Waziri Mkuu(Sera,Bunge na Uratibu) William Lukuvi  pamoja na Kamishna Jenerali  wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kuwa  raia wa kigeni 11 walikamatwa nchini kwa kujihusisha na dawa za kulevya.

“Mwaka 2024,raia wa kigeni 11 walikamatwa kwa tuhuma za kujihusisha na dawa za kulevya,kati yao nane walitoka katika Nchi ya Pakistan ,mmoja kutoka visiwa vya Commoro,mmoja kutoka Nchi ya Congo na mwingine kutoka Nchi ya Brazil wote wakiwa wanaume”imeeleza taarifa hiyo

Kwa upande wa watanzania waliokamatwa nje ya nchi kwa kujihusisha na dawa za kulevya,taarifa hiyo imefafanuwa kuwa takwimu za mwaka 2024 zinaonesha kuwa jumla ya watanzania watano walikamatwa.

Taarifa hiyo imebainisha kuwa wawili kati yao walikamatwa nchini Afrika Kusini,wawili nchini India na mmoja nchini Burundi wote wakiwa ni wanaume.

Hata hivyo idadi ya watanzania imeendelea kushuka katika kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya ambapo kwa mujibu wa Taarifa ya Hali ya Dawa za Kulevya kwa Mwaka 2023 imeonesha kuwa ni watanzania 26 pekee ndio waliokamatwa nje ya nchi kwa tuhuma za kujihusisha na usafirishaji wa dawa za kulevya.

Next Post
Spika Mstaafu Job Ndugai afariki

Spika Mstaafu Job Ndugai afariki

ADA-TADEA yataja sababu za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 kuwa huru na haki

ADA-TADEA yataja sababu za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 kuwa huru na haki

TBN yaonya Manabii,Mitume wanaotabiri,PDPC yasema wanavunja sheria na kuhatarisha usalama

TBN yaonya Manabii,Mitume wanaotabiri,PDPC yasema wanavunja sheria na kuhatarisha usalama

Discussion about this post

Contact us:

BAJETI COMMUNICATION

info@bajeti.co.tz
bajetinews@gmail.com
+255718699828
P.o.BOX 18133,
DAR ES SALAAM,
TANZANIA

Category

  • Habari
  • Magazeti
  • Makala
  • Mazingira
  • Michezo
  • Picha
  • Sayansi na Teknolojia
  • Siasa

Our Visitors

  • Today's visitors:6
  • Today's page views 6
  • Total visitors 13,062
  • Total page views 14,807

Kuhusu Tovuti Hii

Hii ni tovuti ya habari iliyojikita katika kuandika  habari za kina   zikiwemo za mazingira kwa lengo la kuelimisha na kuuhabarisha umma.

Subscribe

  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

© 2025 Bajeti

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo

© 2025 Bajeti

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In