• About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Sunday, January 18, 2026
  • Login
Bajeti
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo
No Result
View All Result
Bajeti
No Result
View All Result
Home Habari

TRA yahimiza ulipaji wa kodi kwa hiari

Yaendesha kampeni ya Elimu ya Kodi Mlango kwa Mlango

by bajeti
October 1, 2025
in Habari
0
TRA yahimiza ulipaji wa kodi kwa hiari

Meneja wa TRA Wilaya ya Kilombero mkoani Mororogo Innocent Minja akizungumza na Walipakodi Septemba 29,2025 wilayani humo wakati wa zoezi la Elimu ya Kodi Mlango kwa Mlango lililoanza Septemba 26,2025.

Share on FacebookShare on Twitter

NA MWANDISHI WETU,MOROGORO

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imewahimiza wafanyabiashara nchini kulipa kodi kwa hiari ili kuepuka riba na adhabu inayotozwa baada ya ucheleweshwaji wa malipo hayo

Wito wa umetolewa na Meneja wa TRA Wilaya ya Kilombero mkoani Mororogo Innocent Minja wakati awamu ya tatu ya kulipa Kodi ikitarajiwa kuhitimishwa Septemba 30,2025.

Hata hivyo Minja amewahimiza Walipakodi ambao bado hawajakamilisha malipo ya Kodi zao, kulipa kwa hiari ndani ya muda uliosalia.

Meneja wa TRA Wilaya ya Kilombero mkoani Mororogo Innocent Minja akizungumza na Walipakodi Septemba 29,2025 wilayani humo wakati wa zoezi la Elimu ya Kodi Mlango kwa Mlango lililoanza Septemba 26,2025.

Akizungumza na Walipakodi wakati wa zoezi la Elimu ya Kodi Mlango kwa Mlango lililoanza Septemba 26,2025.Minja amesema ni vema kila Mlipakodi akatimiza wajibu wake wa kulipa kodi kwa hiari ili kuepuka riba na adhabu inayotozwa baada ya kuchelewa kulipa Kodi.

Aidha Minja ameongeza kuwa malengo ya makusanyo yaliyowekwa na Serikali yatafikiwa iwapo kila mtu mwenye kipato atalipa kodi ambapo ndiyo maana TRA inaendesha zoezi la kutoa Elimu ya Kodi Mlango kwa Mlango.

Amefafanuwa kuwa wakati wa kutoa elimu pia wanatumia fursa hiyo kuwakumbusha Walipakodi kulipa Kodi ya awamu ya tatu ambayo inaishia Septemba 30,2025.

“Tunapita kutoa Elimu ya Kodi Mlango kwa Mlango kwa wafanyabiashara kwa lengo la kuwawezesha  wanaotaka kulipa Kodi lakini hawajui mahala pa kuanzia kuanza kulipa Kodi jambo ambalo litaongeza wigo wa kodi” amebainisha Minja.

Meneja wa TRA Wilaya ya Kilombero mkoani Mororogo Innocent Minja (kulia) akizungumza na Walipakodi Septemba 29,2025 wilayani humo wakati wa zoezi la Elimu ya Kodi Mlango kwa Mlango lililoanza Septemba 26,2025.

Baadhi ya Wafanyabiashara waliotembelewa wakizungumza kwa nyakati tofauti wameshauri zoezi hilo liwe endelevu na kuwapongeza TRA kwa kuwafuata na kuwapa elimu katika biashara zao.

Next Post
CHAUMMA:Hatma ya maisha ya watanzania ni Oktoba 29,2025

CHAUMMA yataka mfumo wa serikali tatu

CCM kukamilisha mchakato wa Katiba Mpya

CCM kukamilisha mchakato wa Katiba Mpya

Serikali ya ADA-TADEA kuwalipa askari walioshiriki vita vya Kagera

Wanafunzi elimu ya juu kupigwa marufuku kupanga vyumba mtaani

Discussion about this post

Contact us:

BAJETI COMMUNICATION

info@bajeti.co.tz
bajetinews@gmail.com
+255718699828
P.o.BOX 18133,
DAR ES SALAAM,
TANZANIA

Category

  • Habari
  • Magazeti
  • Makala
  • Mazingira
  • Michezo
  • Picha
  • Sayansi na Teknolojia
  • Siasa

Our Visitors

  • Today's visitors:25
  • Today's page views 25
  • Total visitors 13,182
  • Total page views 14,928

Kuhusu Tovuti Hii

Hii ni tovuti ya habari iliyojikita katika kuandika  habari za kina   zikiwemo za mazingira kwa lengo la kuelimisha na kuuhabarisha umma.

Subscribe

  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

© 2025 Bajeti

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Mazingira
  • Magazeti
  • Makala
  • Picha
  • Michezo
  • Matangazo

© 2025 Bajeti

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In