NA GOODLUCK HONGO,MTWARA MAMLAKA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imewakaribisha watu waliostaafu katika utumishi wao wa kazi...
NA GOODLUCK HONGO,LINDI MAMLAKA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA)imeanzisha mafunzo maalum kwa wafanyakazi wa nyumbani na...
NA GOODLUCK HONGO,MTWARA SERIKALI imeendelea kupeleka mabilioni ya fedha katika Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini-Mtwara (Mitengo) ambapo sasa mgonjwa...
NA MWANDISHI WETU,KIGOMA MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango na Mwenza wake Mama Mbonimpaye...
NA MWANDISHI WETU,MANYARA MKUU wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga amezitaka Kamati za Pembejeo za Wilaya kwa kushirikiana na wenyeviti...
NA MWANDISHI WETU,MARA MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na Vyombo vya Ulinzi pamoja...
BUDAPEST,HUNGARY SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dkt. Tulia...
NA GOODLUCK HONGO KONGAMANO la Kimataifa la kujadili Tasnia ya Mbolea nchini linatarajiwa kufanyika jijini Dodoma na kuwakutanisha zaidi ya...
MUSCAT,OMAN MAMLAKA ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) ni miongoni mwa taasisi zilizoshiriki katika Kongamano la Kibiashara baina ya Tanzania...
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amewataka wazazi na walimu kushirikiana kuwaandaa wanafunzi wao kuwa viongozi...
Contact us:
BAJETI COMMUNICATION
info@bajeti.co.tzHii ni tovuti ya habari iliyojikita katika kuandika habari za kina zikiwemo za mazingira kwa lengo la kuelimisha na kuuhabarisha umma.
© 2025 Bajeti